iqna

IQNA

sheikh nimr
TEHRAN (IQNA) - Taasisi mbalimbali za kutetea haki za binadamu zimetoa radiamali kufuatia hatua ya utawala wa Saudi Arabia kumtia mbaroni mwana wa kiume wa Sheikh Nimr Baqir al Nimr.
Habari ID: 3473479    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/22

TEHRAN (IQNA)- Utawala wa kifalme wa Saudi Arabia umetoa amri ya kubomolewa msikiti alimokuwa akiswalisha mwanazuoni maarufu wa Waislamu wa madehehebu ya Shia, Shahidi Sheikh Nimr Baqir al-Nimr.
Habari ID: 3473410    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/01

TEHRAN (IQNA)-Kwa muda wa takribani miezi miwili mtaa wa al Mosara katika mji wa Awamiyah nchini Saudi Arabia umekuwa chini ya mzingiro wa wanajeshi ambao wametekeleza uharibifu mkubwa na kuwaua raia kadhaa.
Habari ID: 3471060    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/10

IQNA- Siku kama ya leo mwaka moja uliopita, utawala wa kifalme wa Saudi Arabia ulimuua kikatili mwanazuoni mashuhuri wa Kiislamu Sheikh Nimr Baqir al Nimr.
Habari ID: 3470774    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/02